الرئيسية تعرف على الإسلام Hukumu Ya Mtu Asie Swali (Kiswahili)

Hukumu Ya Mtu Asie Swali (Kiswahili)

تشغيل
عرض المحتوى باللغة العربية

Hukumu Ya Mtu Asie Swali (Kiswahili)

اللغة: Kiswahili
إعداد: Abubakari Shabani Rukonkwa
نبذة مختصرة:
Mada hii inazunguzia Hukumu ya mtu asie swali kabainisha Qauli mbili za wanachuoni kuhusu mtu asie swali, na ametaja dalili nyingi za ukafiri wa asie swali, na amebainisha kuwa swala ninguzo ya dini, asie swali ameivunja dini. Mada hii inazunguzia Hukumu ya mtu asie swali, amebainisha hukumu ya mtu anae sahau swala zake, na mafikio yao siku ya Qiyama, na amebainisha umuhimu wa swala na swala ndio itakayo anza kuhesabika siku ya Qiyama.