Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16 (Kiswahili)

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Wasia Wa Mtume (s.a.w) Kwa Muadh 16 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Alrawda
Maelezo:
Mada hii inazungumzia wasia wa mtume s.a.w kwa Muadhi (r.a) ameeleza kuwa tabiya ya mtume ilikuwa Quraan, na ametumwa ili kutimiliza tabiya nzuri, ameongelea njia salama za malezi ya watoto, na njia ya mtume katika kurekebisha makosa.