Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Umuhimu Wa Imani 12 (Kiswahili)

Umuhimu Wa Imani 12 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Umuhimu Wa Imani 12 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Salim Barahiyan
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Maswali na majibu, na imefafanua uharamu wa kufanya biashara ya nguruwe na kutumia chumo linalopatikana katika biashara hiyo, pia imezungumzia hatari ya kula haramu na kwamba mwnye kula haramu hata dua yake haijibiwi.