Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Umuhimu Wa Imani 11 (Kiswahili)

Umuhimu Wa Imani 11 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Umuhimu Wa Imani 11 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Salim Barahiyan
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Hatari ya kuzua jambo katika dini ya Mwenyezi Mungu na umuhimu wa kufuata Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w), pia imezungumzia uwajibu wa kutafuta elimu kwa kila Muislamu.