Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Umuhimu Wa Imani 02 (Kiswahili)

Umuhimu Wa Imani 02 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Umuhimu Wa Imani 02 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Salim Barahiyan
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Kuipenda dunia na kuiacha Qur’an tukufu ni katika sababu za kudhoofika umma wa kiislam katika jamii, pia imezungumzia namna gani Maswahaba walivyokuwa wakifundishwa Qur’an na Mtume (s.a.w).