Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 25 (Kiswahili)

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 25 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 25 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Yasini Twaha Hassani
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuwaelekeza watoto na kuwafundisha dini wakiwa na umri wa miaka saba, pia imezungumzia uzito wa swala na umuhimu wa kuisimamisha katika maisha.