Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22
(Kiswahili)
Lugha:Kiswahili
Maandalizi:Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others