Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 20 (Kiswahili)

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 20 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 20 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kumsaidia, kumtembelea na kumfariji mtu hasa anapokua mgonjwa, pia imezungumzia namna baadhi ya Waislamu wanavyo ipuuzia na kuisahau Sunna hii