Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Zama za Fitna (Kiswahili)

Zama za Fitna (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Zama za Fitna (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Qasim Mafuta
Maelezo:
1- Mada hii inazungumzia: Zama za fitna na kwamba nilazima watu wachukue tahadhari, pia imezungumzia umuhimu wa kutafuta elim yenye manhji ya kufuata sunna za Mtume (s.a.w). 2- Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa muislam madhubuti katika imani yake, pia imezungumzia hatari ya kufuata au kufanya jambo bila ya elim, nakwamba nisababu ya kuingia katika fitna.