Nyumbani Fahamu kuhusu Uislamu Ukarimi wa Allah juu ya waja wake 3 (Kiswahili)

Ukarimi wa Allah juu ya waja wake 3 (Kiswahili)

Play
Upana Yaliyomo kwa Lugha ya kiarabu

Ukarimi wa Allah juu ya waja wake 3 (Kiswahili)

Lugha: Kiswahili
Maandalizi: Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo:
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa ukarimu wa Allah ni kwamba Allah anawakusanya mahujjaji wote katika viwanja vya Arafa wakiwa katika vazi la aina moja, pia imezungumzia kuwa pepo ndiyo malipo ya mtu mwenye kufanya Hijja ya kweli.