Msimamo Wa Uislam Kuhusu Jihadi Katika Njia Ya Allah
(Kiswahili)
Lugha:Kiswahili
Maandalizi:Qasim Mafuta
Maelezo:
Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kuhusu kupigana Jihadi katika njia ya Allah, na upambanuzi wake, na tatizo la waislam wengi kuto fatilia mambo kwa kina, na madhara ya Hamasa.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others