1. Mada hii inazungumzia adabu za dua na masharti ya kujibiwa dua na jinsi alivyokuwa akiomba mtume -swala Allah alayhi wasalama- wakati wa kufungua swaumu na baada ya kufungua swaumu.
2. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo ambayo hutakiwi kumuomba Allah,na umuhimu wakumuombeya nduguyako moyoni.
3. Mada hii inazungumzia adabu za dua na nyakati muhimu za kujibiwa dua.
4. Mada hii inazungumzia adabu za dua nambo anayotakiwa kuyafanya mwenya kuomba dua.
5. Mada hii inazungumzia adabu za dua yakiwemo mambo yanayo ziwiya dua kujibiwa.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others