Thamani ya swala ya Alfajiri katika mwezi wa Ramadhani
(Kiswahili)
Lugha:Kiswahili
Maandalizi:Abubakari Shabani Rukonkwa
Maelezo:
Mada hii inazungumzia thamani ya swala ya Alfajiri katika Jamaa katika mwezi wa ramadhani,na namna ambavyo zinavyo zidishwa thawabu za swala ya alfajiri.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others