Miongoni Mwa Hukumu Za Kisheria Katika Twahara Na Swala
(Kiswahili)
Lugha:Kiswahili
Maandalizi:Shahidi Muhamad Zaid
Maelezo:
Muhadhara huu unazungumzia namna ya kutawadha,na kuoga,na kutayamamu,kupaka juu ya khofu,na jinsi ya kutawadha mgonjwa.pia namna ya kuswali,yanayo chukiza katika swala,na yanayo batilisha swala,na sijda ya kusahau,na hukumu ya mtu asie swali.
Share
Use the QR code to easily share the message of Islam with others